KUPINGA RUSHWA : TAMASHA LA KUPINGA RUSHWA LAFANYIKA JIJINI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 9 December 2013

demo-image

KUPINGA RUSHWA : TAMASHA LA KUPINGA RUSHWA LAFANYIKA JIJINI ARUSHA

IMG-20131207-WA0000
 Wasanii wa Kikundi cha ngoma wakitumbuiza wakati wa Tamasha la mimi ni Afrika,Afrika ni mimi
IMG-20131207-WA0001
 Kikundi cha ngoma kikiendelea kutumbuiza
IMG-20131207-WA0002

IMG-20131207-WA0003

IMG-20131207-WA0004
 Mshehereshaji wa Tamasha la mimi ni Afika,Afrika ni mimi Adam mchomvu akionge na wakazi wa arusha waliojitokeza kwa wingi kwenye viwnja vya general tyre.
IMG-20131207-WA0005

IMG-20131207-WA0006
 Adam mchomvu akifurahi na wakazi wa arusha
IMG-20131207-WA0007
 Wakazi wa Arusha wakinyoosha mikono juu kama ishara ya kupinga rushwa.
IMG-20131207-WA0008
 Msaniii chaba akiwaburudisha wakazi wa Arusha jana
IMG-20131207-WA0009
 Msanii chaba na back voclist wake wakiendelea kutawala stji jana kwenye viwanja vya general tyre
IMG-20131207-WA0010
 Nasty Nastyyyy msaniiii chaba akiimbaaaa jukwaaani
IMG-20131207-WA0011
 Msanii Joh makini akiwa kwa steji akiwaburudisha wakazi wa Arusha jana kwenye Tamasha la kupinga Rushwa mimi ni afrika na afrika ni mimi.
IMG-20131207-WA0012
 Kundi la weusiiiiii wakikamata steji vilivyo jana kwenye viwanja vya general tyre
IMG-20131207-WA0013

IMG-20131207-WA0015

IMG-20131207-WA0016
 Sema beiiii ya mkaaa,bei ya mkaaaa kundi la weusi wakiwaimbisha wakazi wa arusha jana kwenye Tamasha la kupinga Rushwa la mimi ni afrika na afrika ni mimi
IMG-20131207-WA0017

IMG-20131207-WA0019

IMG-20131207-WA0020

IMG-20131207-WA0024
 Dogo janja akiwa kwa steji akiwarusha mashabiki
IMG-20131207-WA0025
 Kundi la jambo Squadwakirukaaa kingarerooooo na mashabiki wao
IMG-20131207-WA0026
 Machaliii machaliiiii wa araaaaa hivyo ndio ilikuwa ikisikika wakati jambo squad wakifanya yao jukwaaani.
IMG-20131207-WA0027
 Msanii stamina akiwa kwa steji akiwarusha mashabiki
IMG-20131207-WA0028

IMG-20131207-WA0031
Lile tamasha la kupinga matumizi ya Rushwa na utoaji limefana sana jana Jijini Arusha kwenye viwanja vya general tyre.Kauli mbiu ya tamasha hilo ilikuwa "RUSHWA SIO" na kubebwa na ujumbe mzito wa mimi ni afrika na afrika ni mimi.
Dhumuni kubwa la tamasha hilo ilikuwa ni kutoa elimu kwa wanainchi juu ya madhara ya utoaji na upokeaji rushwa,kiingilio ilikuwa ni bure kabisaaa.Sambamba na elimu iliyotolewa viwanjani hapo pia wakazi wa Jiji la arusha walipata nafasi ya kupata burudani ya kufa mtu kutoka kwa wasanii kama izo b,stamina,weusi,chindo man,roma,fid q,linah,naziz na vanessa mdeee.
  PICHA NA HABARI KWA HISANI YA DJ SEK BLOG

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *