Meneja
Uhusiano wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Badra Masoud akieleza
kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kuwepo kwa upungufu wa
umeme kwenye gridi ya Taifa kuanzia tarehe 16 hadi 26 November, 2013
kutokana na upungufu wa gesi kutoka katika Kisiwa cha Songosongo
kilichopo Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi Unaosababishwa na Matengenezo
ya Kiufundi kwenye visima vya gesi unaofanywa na Kampuni ya Pan Afrika
ili kuboresha upatikanaji wa gesi ya kutosha kwenye visima hivyo.
Mabalozi Wastaafu Kuongeza Nguvu katika Kuimarisha Demokrasia ya Nchi
-
Na Mwandishi wetu
WIZARA ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeanza kuweka
utaratibu wa kutumia hazina ya maarifa na uzoefu kutoka kwa Mab...
13 minutes ago
No comments:
Post a Comment