Meneja
Uhusiano wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Badra Masoud akieleza
kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kuwepo kwa upungufu wa
umeme kwenye gridi ya Taifa kuanzia tarehe 16 hadi 26 November, 2013
kutokana na upungufu wa gesi kutoka katika Kisiwa cha Songosongo
kilichopo Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi Unaosababishwa na Matengenezo
ya Kiufundi kwenye visima vya gesi unaofanywa na Kampuni ya Pan Afrika
ili kuboresha upatikanaji wa gesi ya kutosha kwenye visima hivyo.
TANZANIA KUENDELEA KUTUMIA AKILI UNDE KUKABILIANA NA MAAFA
-
Na Mwandishi Wetu, Masvingo - Zimbabwe.
TANZANIA imesema itaendelea kutumia teknolojia ya Akili Unde (AI) katika
kuimarisha mifumo ya usimamizi wa maafa ...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment