Meneja
Uhusiano wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Badra Masoud akieleza
kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kuwepo kwa upungufu wa
umeme kwenye gridi ya Taifa kuanzia tarehe 16 hadi 26 November, 2013
kutokana na upungufu wa gesi kutoka katika Kisiwa cha Songosongo
kilichopo Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi Unaosababishwa na Matengenezo
ya Kiufundi kwenye visima vya gesi unaofanywa na Kampuni ya Pan Afrika
ili kuboresha upatikanaji wa gesi ya kutosha kwenye visima hivyo.
MWENGE WA UHURU 2026 WARIDHISHWA NA MRADI WA ZAHANATI YA MUUNGANO
-
Na Oscar Assenga, Muheza
WANANCHI 6,258 wa Kijiji cha Muungano, Wilaya ya Muheza, wamenufaika na
huduma bora za afya kufuatia kukamilika kwa ujenzi wa Za...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment