Meneja
Uhusiano wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) Badra Masoud akieleza
kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu kuwepo kwa upungufu wa
umeme kwenye gridi ya Taifa kuanzia tarehe 16 hadi 26 November, 2013
kutokana na upungufu wa gesi kutoka katika Kisiwa cha Songosongo
kilichopo Wilaya ya Kilwa, Mkoa wa Lindi Unaosababishwa na Matengenezo
ya Kiufundi kwenye visima vya gesi unaofanywa na Kampuni ya Pan Afrika
ili kuboresha upatikanaji wa gesi ya kutosha kwenye visima hivyo.
MWENEZI PWANI : HOTUBA YA RAIS DKT. SAMIA IMETOA DIRA YA MATUMAINI KWA
TAIFA LETU
-
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Pwani Dkt. David Mramba.
Na Khadija Kalili, Kibaha
KATIBU Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo Chama Cha Ma...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment