GRADUATION YA KIDATO CHA NNE 2013 YA BABA MDOGO WANGU( TASS-ARUSHA),PIA NAMTAKIA MTIHANI MWEMA PAMOJA NA WENZAKE - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

Monday 4 November 2013

GRADUATION YA KIDATO CHA NNE 2013 YA BABA MDOGO WANGU( TASS-ARUSHA),PIA NAMTAKIA MTIHANI MWEMA PAMOJA NA WENZAKE

Winner Lupaakisyo Mwakasweswe, mwenye miwani ndie baba mdogo wa The Ceo wa Wazalendo 25 Blog, mahafali haya yalifanyika katika shule ya Waadvetista wasabato Arusha (TASS) Usa-River Arusha.
Hapa Winner akiwa na wenzake katika mahafali ya kidato cha nne 2013.

Winner akipokea cheti kutoka kwa mkuu wa chuo cha Arusha (University of Arusha)
Familia ya Winner Lupakisyo Mwakobela Mwakasweswe, kutoka kushoto ni Mama, Winner ,Lusekelo mdogo wake na Baba yake..

Ndugu jamaa na marafiki wakipata picha ya pamoja
Kushoto ni Gadiola Emanuel The CEO wa Wazalendo 25 Blog nikipata picha na Winner ,katikati ni Lusekelo mdogo wake na Winner.



No comments:

Post a Comment