
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi wa Utamaduni Profesa
Mwansoko wakati anawasili katika viwanja vya maonesho ya Wiki ya Vijana
uwanja wa Mlandege, Iringa

Rais
Kikwete akiweka saini kitabu cha wageni. Kushoto ni Mama Salma Kikwete
na kulia ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo

Mama Salma Kikwete akiweka saini kitabu cha wageni

Banda la Mwalimu Nyerere Foundation

Katika banda la Mwalimu Nyerere Foundation

Spika Anne Makinda akiongea na mmoja wa vijana kwenye banda lao

Banda la bodi ya Filamu

Rais Kikwete akiangalia moja ya bidhaa zinazotengenezwa na vijana

Banda la TAMAVITA

Banda la vijana toka Zanzibar

Rais Kikwete akiangalia bidhaa za vijana toka Zanzibar

Vijana wa Zanzibar wakitoa maelezo ya kazi zao

Vijana wakisalimiana na Rais kwenye banda lao

Banda la Forum Syd

Banda la AMREF

Banda mojawapo la vijana

Halmashauri ya Wilaya ya Iringa

Rais akisalimiana na vijana wajasiriamali wa Iringa

Banda la Kilolo

Kijana Kenneth Mwangoka kutoka Nyololo akiwa na gari lake la miti

Rais Kikwete akisalimiana na kijana Kenneth Mwangoka

Rais Kikwete akiangalia gari la miti

Chuo Kikuu cha Mkwawa

Vijana katika kuhamasisha jamii dhidi ya VVU na Ukimwi

Vijana wa Chuo Kikuu cha Ruaha wanafurahi kutembelewa na Rais Kikwete bandani kwao

Chuo Kikuu cha Iringa

Maelezo toka kwa vijana wa Chuo Kikuu cha Iringa

Vijana wanaotengeneza dawa za asili

Wadau wa NMB tawi la Mkwawa wakisubiri mgeni awatembelee

Vijana wakitoa maelezo

Vijana wa NMB tawi la Mkwawa wakimsalimia Rais Kikwete

Vijana wa Exim Bank wakifurahia ugeni huo

Banda la TRA

Banda la vijana wa dini mbalimbali

Vijana wakifurahia ujio wa Rais Kikwete

Wajasiriamali vijana wa Iringa wakisalimiana na Rais Kikwete

Rais akisalimiana na wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Iringa

Spika Anne Makinda akisalimiana na wauguzi wa Hospitali ya Rufaa ya Iringa

Vijana wakimpokea Rais

Banda la Femina

Vijana wajasiriamali wakimsalimia mgeni

Banda la JAFAKU group

Vijana wakionesha kazi zao

Banda la VETA

Karibu mgeni

Mama Salma Kikwete akiangalia bidhaa za wajasiriamali

Mama Salma Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa wa LAPF, Bw. Eliud Sanga

Rais Kikwete akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa wa LAPF, Bw. Eliud Sanga

Wajasiriamali wakimkaribisha mgeni

Mama Salma Kikwete katika banda la vijana wahamashishaji jamii

Mama Kikwete katika banda la vijana wajasiriamali

Karibu kwetu Mheshimiwa....

Vijana wajasiriamali wafurahia ujio wa Rais Kikwete bandani kwao

Rais Kikwete na Spika Anne Makinda katika banda la YARRA wakijadili umuhimu wa pembejeo

Rais Kikwete akinunua kitabu katika banda la wajasiriamali wa elimu

Kijana akimkaribisha mgeni kwenye banda la nishati jua

Vijana wakionesha dawa za asili wanazotengeneza

Mama Kikwete akitembelea banda la dawa za asili

Banda la wajasiriamali toka mkoa wa Njombe

Banda la vijana wajasiriamali

Rais Kikwete akijaribu kofia katika banda la vijana wa Iringa

Banda la bidhaa za nyuki na zabibu toka Dodoma

Mama Kikwete na vijana wajasiriamali katika bidhaa za nyuki

Kofia kwa mgeni

Hongereni sana kwa kazi nzuri....

Vijana toka Ngara

vijana wa Geita

Mama Kikwete kwenye banda la Geita

Rais Kikwete na Spika Anne Makinda katika banda la Lindi

Bidhaa kila aina zilikuwepo

Vijana wakimsalimia mgeni

Banda la Chemi Cotex

Banda la TANAPA

Vijana wa Iringa na utalii wa ndani

Vijana wa Ruaha Hilltop

Banda la maonesho la wanyama hai

Banda la Jeshi la Polisi Iringa

Banda la Polisi Iringa

Karibu tena afande....

Vijana wa PCCB wakimlaki mgeni

Banda la PCCB

Banda la UHAMIAJI

Mama Salma Kikwete katika banda la UHURU na MZALENDO

Rais Kikwete akikaribishwa katika banda la UHURU na MZALENDO na msimamizi wa banda Bakari Mkhondo

Akiangalia picha mbalimbali za kumbukumbu ya Baba wa Taifa

Rais Kikwete akifurahia moja ya picha zinazomuomnesha akiwa na Mwalimu

Rais Kikwete na Mama Salma Kikwete wakifurahia picha

Rais Kikwete akitoa ushauri banda la UHURU

Rais Kikwete, Spika Anne Makinda na Naibu Mwenyekiti wa CCM katika banda la UHURU na MZALENDO

Spika Anne Makinda katika banda la UHURU na MZALENDO. Picha zote na Issa Michuzi Blog
No comments:
Post a Comment