DR. SLAA ATUA MOROGORO KATIKA BARAZA LA RASIMU YA KATIBA MPYA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Tuesday, 20 August 2013

demo-image

DR. SLAA ATUA MOROGORO KATIKA BARAZA LA RASIMU YA KATIBA MPYA

SAM_0222
DR. Slaa akiwa wakili Msomi Edson Mbogoro tayari kwa kuhutubia
SAM_0183
Baadhi ya wananchi wakiwa tayari kujaza fomu za maoni ya Rasimu ya Katiba Mpya katika viwanja vya K-ndege ambapo Dr. Slaa kuhutubia wananchi mchana wa leo. Mwenye Skafu ya Chadema ni Mwenyekiti wa Chadema Kata ya Kichangani
SAM_0193
Mwasisi wa Blog ya Mwaipaja Blog Kaka Amani Mwaipaja akitoa maoni yake kwenye fomu maalum ya kutolea maoni katika viwanja vya shule ya msingi K-Ndege 
SAM_0202
Mwanasheria Amani Mwaipaja (Mwenye Miwani) akiwa na Mwanasheria Msomi Bathromew Tarimo (Wakili kwenye kesi ya Sheikh Ponda) katika Viwanja vya Mkutano
SAM_0200
Mwasisi wa Blog ya Mwaipaja Blog (Mwenye Miwani) akiwa na Katibu Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Morogoro Mjini wakiwa katika picha ya pamoja kwenye viwanja vya Mkutano

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *