DR. JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA VIJANA WALIOACHA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA. - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 14 August 2013

demo-image

DR. JAKAYA KIKWETE AKUTANA NA VIJANA WALIOACHA KUTUMIA MADAWA YA KULEVYA.

.com/blogger_img_proxy/ .com/blogger_img_proxy/ Kijana Jimmy Changchuu alieachana na matumizi ya dawa za kulevya akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete picha aliyochora yeye na kijana mwenzake wakati vijana hao walimpomtembelea Rais Ikulu jijini Dar es Salaam leo.Vijana hao wanalelewa katika kituo cha Pilli Missanah Foundation kilichopo Kigamboni Jijini Dar es Salaam. .com/blogger_img_proxy/Vijana walioachana na Matumizi ya dawa za kulevya kutoka katika kituo cha Pilli Missanah Foundation kilichopo Kigamboni jijini Dar es Salaam wakiwa katika picha ya pamoja na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ikulu jijini Dar es Salaam leo.Kulia pembeni ya Rais ni Mwanzilish Kituo hicho Bi.Pilli Missanah na watatu kushoto ni mfadhili mkuu wa kituo hicho Bwana Zacharia Hans Poppe (picha na Freddy Maro)

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *