Wafanyakazi
wa Vodacom Afrika Kusini na wenzao kutoka Vodacom Tanzania wakiwa
katika picha ya pamoja na viongozi pamoja na wateja wanaopata tiba
katika kituo cha kutibu wanawake ili kuachana na matumizi ya dawa za
kulevya.
Wafanyakazi
wa Vodacom Tanzania pamoja na wenzao wa Afrika Kusini wakiwa
wamejumuika na wateja wa kituo cha kuachana na matumizi ya dawa za
kulevya (Sobber House) cha wanawake cha Mjini Zanzibar, wakati
wafanyakazi hao walipokitembelea kituo hicho na kutoa msaada wa vyakula
na vitu mbalimbali ili kuwapa moyo wanawake hao walio katika harakati
za kuachana na matumizi ya dawa za kulevya kufikia azma yao.
Wafanyakazi
wa Vodacom Afrika Kusini na wenzao kutoka Vodacom Tanzania wakiwa
katika picha ya pamoja na viongozi pamoja na wateja wanaopata tiba
katika kituo cha kutibu wanawake ili kuachana na matumizi ya dawa za
kulevya. Wafanyakazi hao walikitembelea kituo hicho kama sehemu ya
kuthamini juhudi za kituo hicho kusaidia wanawake kuachana na matumizi
ya dawa hizo za kulevya.
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Movies, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
No comments:
Post a Comment