KENYA : MAKAMU WA RAISI ATEMBELEA NANDI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 14 November 2012

demo-image

KENYA : MAKAMU WA RAISI ATEMBELEA NANDI

kalonzo
Makamu wa raisi wa Kenya Mhe. Kalonzo Musyoka akiwapungia wananchi wa kaiboi na kapsabet huko Nandi ,alipotembelea huko na kufungua ofisi ya chama chake cha 'WIPER DEMOCRATIC MOVEMENT' leo.
kilonzo1
Makamu wa raisi wa Kenya Mhe. Kalonzo Musyoka akisherehekea ngoma na wazee wa mila za jadi wa kapsabet huko Nandi, katika kampeni zake za kuimarisha chama chake leo.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *