Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, John Samwel Malecela
akimtunuku Shahada ya Uongozi wa Biashara, Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu
Pinda katika Mahafali ya Chuo Kikuu Huria yaliyofanyika kwenye viwanja
vya Chuo hicho Kibaha Oktoba 27, 2012.Kulia ni Waziri Mkuu Mizengo Pinda
Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, John Samwel Malecela
akimtunuku Shahada ya Uongozi wa Biashara, Mke wa Waziri Mkuu, Mama
Tunu Pinda katika Mahafali ya Chuo Kikuu Huria yaliyofanyika kwenye
viwanja vya Chuo hicho Kibaha.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipokea zawadi ya ua kutoka
wadogo zake Salma Rehani (kulia), Mkaroga Rehani (wapili kulia) na Mabe
Rehani baada ya kutunukiwa Shahada ya Uongozi wa Biashara katika
mahafali ya Chuo Kikuu Huria cha Tanzania.
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akiwa na baadhi ya wahitimu wa mahafali hayo yaliyofanyika jana Kibaha mkoani Pwani
Baadhi ya Wahitimu wa Chuo Kikuu Huria Cha Tanzania
Wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipowahutubia kwenye
mahafali ya Chuo hicho yaliyofanyika Kibaha.Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu
He is a Tanzanian Journalist , Editor and blogger of Wazalendo 25 Blog which operate since 2006 ; covering International and Local News, including Politics, Sports, Athletics, Movies, Events, personalities and positive news happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English Audience.
JOTI ASHINDA TUZO YA MCHEKESHAJI BORA MKONGWE
-
Tuzo ya Mchekeshaji Mkongwe imekwenda Kwa Lucas Mhuvile a.k.a Joti .
Joti anaondoka na tuzo ya pili Usiku wa tuzo za Ucheshi (TCA) ambapo awali
akikabidhiw...
Teknolojia : Kabudi Apongeza Waandishi wa Habari
-
Waandishi wa Habari 'Bloggers' kutoka Tanzania Bloggers Network (TBN)
ambao wameshiriki kikamilifu kwenye Kamati ya maandalizi ya mkutano huo
wakiwa k...
-
[image: Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio]
Tumore prostatico: la prognosi in base a stadio, grado e rischio
alt=”” class=”w...
No comments:
Post a Comment