WAENDESHA BODA BODA WAZIBA BARABARA KUU YA MOSHI ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


21 Sept 2012

WAENDESHA BODA BODA WAZIBA BARABARA KUU YA MOSHI ARUSHA


Wana-Boda Boda wa Jiji la Arusha,wakiwa wameziba barabara kuu ya moshi Arusha katika eneo la Ngulelo,wakilituhumu jeshi la polisi kumwachia mtuhumiwa wa mauaji anayedaiwa kumuua kwa kumpiga risasi mwenzao bila hatia.
 Madereva wa bodaboda wakiziba barabara kuu na kufanya magari kushindwa kupita kwa muda.
Askari wa FFU wakifyatua mabomu ya machozi kuwatawanya wana-Boda Boda hao waliokuwa wameziba njia hiyo.
Dereva wa Boda Boda akitaka kupasua kioo cha gari dogo kwa Hasira baada ya dereva wa gari hilo kutaka kupita kwa nguvu katika eneo lililozibwa.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad