Mabadiliko yatafanyika DSTV - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


1 Sept 2012

Mabadiliko yatafanyika DSTV


 
Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Multchoice Barbara Kambogi akizungumza na waandishi wa habari kwenye hafla ya mabadiliko ya Chanel za DStv yatakayoanza tarehe 1 Oktoba mwaka huu, hafla hiyo imefanyika kwenye hoteli ya Courtyard Upanga jijini Dar es salaam.
 
Mhasibu Mkuu wa Kampuni ya Ving’amuzi ya DStv Francis Senguji akizungumza katika hafla hiyo na kuelezea mambo mbalimbali yanayohusi mabadiliko hayo.
Waandishi wa habari  kutoka vyombo mbalimbali wakiwa katika hafla hiyo
Kutoka kulia ni Benny Kisaka kutoka Jambo Leo, Gerald Hando kutoka Clouds na Sebbo wakiwa katika hafla hiyo
 
Kutoka kulia ni Mamaa Shamim wa Zeze kutoka 8020fashion blog akiwa na mzee wa Mtaa kwa Mtaa na Kushoto Full shangwe blog CEO

WANASEMA WAMEONGEZA WIGO WA WEWE KUJIACHIA KATIKA  ILE SEKTA UIPENDAYO YA MOVIES AKA FILAMU NDANI YA CHANNEL 8 NA KILA CHANNEL IKIWA INA AINA YA MOVIE ZENYE THEME TOFAUTI  KAMA MPENZI WAMOVIE UTAWEZA PATA MOVIE MPYA ZILIZOTOKA ONESHWA SINEMANI (NDANI YA CHANNEL 103),MOVIE ZAKIFAMILIA (CHANNEL 104) ,WALE WACOMEDI  NA WALE WA ACTION NA WALE WATAMTHILIA TUTAKUWA NA CHANNEL YETU MAALUM YAKUJIACHIA
WIGO HUU WA MOVIES UTAKUWA UNACHEZEA KUANZI CHANNEL  103-111
KWA BEI ILEILEEE UNAYOLIPIA KILASIKU

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad