Kundi
maarufu la sanaa Arusha la Serengeti art group,lililokuwa chini ya
ccm,limehamia CHADEMA.Wamekabidhiwa kadi na viongozi wa chama mkoa wa
Arusha wakiongozwa na Mwenyekiti Mwigamba,Katibu Amani
Golugwa,Mwenyekiti BAVICHA mkoa Nanyaro,na Mwenyekiti BAWACHA mkoa Cecy
Ndossi.Tukioa hilo limefanyika leo katika ofisi za Chama Ngarenaro
SERIKALI INATAMBUA UMUHIMU WA KUKUZA USAWA WA KIJINSIA – MAJALIWA
-
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali inatambua umuhimu wa kukuza
usawa wa kijinsia na uwezeshaji wa wanawake kama njia mojawapo ya
kuimaris...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment