Kundi
maarufu la sanaa Arusha la Serengeti art group,lililokuwa chini ya
ccm,limehamia CHADEMA.Wamekabidhiwa kadi na viongozi wa chama mkoa wa
Arusha wakiongozwa na Mwenyekiti Mwigamba,Katibu Amani
Golugwa,Mwenyekiti BAVICHA mkoa Nanyaro,na Mwenyekiti BAWACHA mkoa Cecy
Ndossi.Tukioa hilo limefanyika leo katika ofisi za Chama Ngarenaro
Magazetini Leo Desemba 12, 2025; Maisha ya Ughaibuni si lele mama, Yatisha
-
Copyright 2007-2021 @KAJUNASON BLOG
3 hours ago
No comments:
Post a Comment