Kundi
maarufu la sanaa Arusha la Serengeti art group,lililokuwa chini ya
ccm,limehamia CHADEMA.Wamekabidhiwa kadi na viongozi wa chama mkoa wa
Arusha wakiongozwa na Mwenyekiti Mwigamba,Katibu Amani
Golugwa,Mwenyekiti BAVICHA mkoa Nanyaro,na Mwenyekiti BAWACHA mkoa Cecy
Ndossi.Tukioa hilo limefanyika leo katika ofisi za Chama Ngarenaro
JAB YAKEMEA UVUNJAJI WA SHERIA ZA AJIRA KATIKA SEKTA YA HABARI
-
*Na Mwandishi Wetu.*
*Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewasisitiza waajiri kwenye
vyombo vya habari nchini kuzingatia kikamilifu masharti ya ...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment