Kundi
maarufu la sanaa Arusha la Serengeti art group,lililokuwa chini ya
ccm,limehamia CHADEMA.Wamekabidhiwa kadi na viongozi wa chama mkoa wa
Arusha wakiongozwa na Mwenyekiti Mwigamba,Katibu Amani
Golugwa,Mwenyekiti BAVICHA mkoa Nanyaro,na Mwenyekiti BAWACHA mkoa Cecy
Ndossi.Tukioa hilo limefanyika leo katika ofisi za Chama Ngarenaro
KAMATI YA KITAIFA YA USIMAMIZI WA MAAFA YAIDHINISHA MPANGO WA DHARURA WA
TAIFA WA KUKABILIANA NA MADHARA YA EL NIÑO
-
*Na.Mwandishi wetu - Dar es Salaam*
*Kamati ya Kitaifa ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa imeidhinisha Mpango
wa Taifa wa Dharura wa Kukabiliana na Madhara...
21 hours ago
No comments:
Post a Comment