Kundi
maarufu la sanaa Arusha la Serengeti art group,lililokuwa chini ya
ccm,limehamia CHADEMA.Wamekabidhiwa kadi na viongozi wa chama mkoa wa
Arusha wakiongozwa na Mwenyekiti Mwigamba,Katibu Amani
Golugwa,Mwenyekiti BAVICHA mkoa Nanyaro,na Mwenyekiti BAWACHA mkoa Cecy
Ndossi.Tukioa hilo limefanyika leo katika ofisi za Chama Ngarenaro
VIONGOZI MASHABIKI WA TIMU ZA SIMBA NA YANGA WATOA BURUDANI ARUSHA
-
*Na Eleuteri Mangi, Arusha*
*Timu ya Viongozi wa vilabu vinavyoshiriki michuano ya Mei Mosi Taifa 2024
ambao ni mashabiki wa vilabu vya Simba na Yanga wa...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment