Mwanadada Diva Loveness Love (daah) akisababisha ndani ya amsha amsha ya tamasha la Fiesta linalofanyika wikend hii ndani ya Tanga.
| Baba Jonii'happen there' akisikiliza kwa Makini maelekezo toka kwa msimamizi wa vipindi Clouds Fm ,Bw. Sebastian Maganga |
Mazungumzo ya hapa na pale yakiendelea.
Mtangazaji wa Clouds Fm Adam Mchomvu a.k.a Baba Jonii akionesha t-shirt ambazo zimetoka kwa ajili ya kusherekea tamasha hilo la Fiesta 2012.
No comments:
Post a Comment