Misaada yatakiwa ili kupambana na Madawa ya kulevya Zanzibar - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


29 Aug 2012

Misaada yatakiwa ili kupambana na Madawa ya kulevya Zanzibar


Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Dr. Omar Dadi Shajak akisalimiana na wataalamu kutoka taasisi ya Pangaea ya Marekani waliofika ofisini kwake Migombani. Kutoka kushoto ni Bw. Douglas Bruce na Barrot Lambdin.
  Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Dr. Omar Dadi Shajak akizungumza na wataalamu kutoka taasisi ya Pangaea ya Marekani waliofika ofisini kwake Migombani

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad