Diamond na Orijino Komedi walifunika siku ya uzinduzi wa mpango wa maendeleo ya Jamii (TASAF) jijini Dodoma. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


18 Aug 2012

Diamond na Orijino Komedi walifunika siku ya uzinduzi wa mpango wa maendeleo ya Jamii (TASAF) jijini Dodoma.

Diamond na kundi lake wakifanya kweli jukwaani.
Diamond na kundi lake wakifanya kweli jukwaani.
Diamond na kundi lake wakifanya kweli, uwanjani mbele ya mashabiki waliofika kwenye uwanja wa Jamhuri Dodoma.
Diamond na kundi lake wakifanya kweli jijini Dodoma.
Diamond na kundi lake wakipanda jukwaani kumpa mkono Dr. Jakaya Kikwete.
Joti....weweeee.....akiwapa mashabiki mambo yake...mchekeshaji wa Orijino Komedi!!!
Mpoki a.k.a TAJIRI LA KIHAYA...akisikilizwa na Masanja Mkandamizaji wote ni wachekeshaji wa Orijino Komedi!!
Huyu ni Masanja Mkandamizaji,mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi
Wewe unacheka....!!!wao wanasalimiana na Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Jakaya Kikwete.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad