LEO MCHANA TUKIJIACHIA MIDA YA LUNCH MAENEO FLANI HIVI YA A - CITY - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


29 Mar 2012

LEO MCHANA TUKIJIACHIA MIDA YA LUNCH MAENEO FLANI HIVI YA A - CITY



Hapa ilikuwa mida ya lunch, tulijisogeza kiwanja kula bata then mida yakazi iendelee.
Gadiola a.k.a baba G akiwa na Kenny The Remeddy wakipata lunch ya ukweli pande za A.city.
Kiukweli msosi ulikuwa mtamu sana, mara Asili Yetu ikatinga na kamera, duh! Ikawa hivo sasa!!
Gadiola akiwa na Machota wakila bata ya lunch maeneo flani hivi.
Keny akijaribu kufikiri "now mida ya kazi ndo hii, so nijimovuzishe zangu kimpango".
Machota akiwa na Wazalendo25 blog wakila nice time za A-city. Dah ukishiba una uwezo wa kwenda popote....!!!

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad