Mkurugenzi. Mkurugenzi wa U-turn blog Mange Kimambi akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kukabidhi msaada wa vyakula na vitu mbalimbali katika kituo cha kulea watoto yatima cha Kurasini jijini Dar es Salaam,Msaada huo wenye thamani ya Shilingi Milioni 10 ulitolewa kwa pamoja na wasomaji wakuu wa Blog hiyo.
Mkurugenzi wa U-turn blog Mange Kimambi na Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wakifurahia pamoja na watoto yatima walipofika katika kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu cha Kurasini jijini Dar es Salaam,msaada wa vyakula na vitu mbalimbali uliokuwa na thamani ya shilingi Milioni 10 ulitolewa na U-turn blog kwa ushirikiano wapamoja na wasomaji wakuu wa Blog hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya binadamu (NIMR) DK. Mwele Malecela akiongea na watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Taifa cha Kurasini wakati wa hafla iliyoandaliwa na Blogs ya U-turn kwa kushirikiana na wasomaji wake wakuu, waliotoa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula na ngua vyenye thamani ya shilingi milioni 10.
Mkurugenzi. Mkurugenzi wa U-turn blog Mange Kimambi akiongea na watoto baada ya kukabidhi msaada wa vyakula na vitu mbalimbali katika kituo cha kulea watoto yatima cha Kurasini jijini Dar es Salaam,Msaada huo wenye thamani ya Shilingi Milioni 10 ulitolewa kwa pamoja na wasomaji wakuu wa Blog hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya binadamu (NIMR) DK. Mwele Malecela akiwahudumia chakula watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Taifa cha Kurasini wakati wa hafla iliyoandaliwa na Blogs ya U-turn kwa kushirikiana na wasomaji wake wakuu, waliotoa msaada wa vitu mbalimbali ikiwemo vyakula na ngua vyenye thamani ya shilingi milioni 10.
Mkurugenzi. Mkurugenzi wa U-turn blog Mange Kimambi akiangalia kwa makini jinsi watoto wakikata keki muda mfupi baada ya kukabidhi msaada wa vyakula na vitu mbalimbali katika kituo cha kulea watoto yatima cha Kurasini jijini Dar es Salaam,Msaada huo wenye thamani ya Shilingi Milioni 10 ulitolewa kwa pamoja na wasomaji wakuu wa Blog hiyo.
Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wakifurahia pamoja na watoto yatima walipofika katika kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu cha Kurasini jijini Dar es Salaam,msaada wa vyakula na vitu mbalimbali uliokuwa na thamani ya shilingi Milioni 10 ulitolewa na U-turn blog kwa ushirikiano wapamoja na wasomaji wakuu wa Blog hiyo.
Mkurugenzi wa U-turn blog Mange Kimambi na Ofisa Mkuu wa Masoko na Mahusiano wakiwa katika picha ya pamoja pamoja na watoto yatima walipofika katika kituo cha kulelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu cha Kurasini jijini Dar es Salaam,msaada wa vyakula na vitu mbalimbali uliokuwa na thamani ya shilingi Milioni 10 ulitolewa na U-turn blog kwa ushirikiano wapamoja na wasomaji wakuu wa Blog hiyo.
No comments:
Post a Comment