MCHAKATO WA VAZI LA TAIFA LAFANYIKA ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Sunday, 12 February 2012

demo-image

MCHAKATO WA VAZI LA TAIFA LAFANYIKA ARUSHA

921_1067
Wadau wa Vazi Taifa wakisikiliza kwa makini maelezo yanavotolewa na wakurugenzi wa Vazi hilo hapa Jiji Arusha.

921_1064
Wadau wa vazi la Taifa wakisikiliza kwa makini mchakato wa vazi la Taifa linavyoendeshwa na wakurugenzi wa Vazi hilo, hapa Jijini Arusha.

921_1062 
Kushoto ni Ndugu Ndesumbuka Merinyo  Mkurugenzi wa Afrika Sana na Mjumbe wa kamati ya Vazi la Taifa,katikati ni Bi. Angella Ngowi Mkurugenzi msaidizi wa utamaduni na pia ni katibu wa kamati, pamoja na Mustafa Hassanali Mbunifu wa mavazi na mjumbe wa kamati ya Vazi la Taifa.

921_1061
Kushoto ni Ndugu Ndesumbuka Merinyo  Mkurugenzi wa Afrika Sana na Mjumbe wa kamati ya Vazi la Taifa,katikati ni Bi. Angella Ngowi Mkurugenzi msaidizi wa utamaduni na pia ni katibu wa kamati.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *