MCHAKATO WA VAZI LA TAIFA LAFANYIKA ARUSHA - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


12 Feb 2012

MCHAKATO WA VAZI LA TAIFA LAFANYIKA ARUSHA

Wadau wa Vazi Taifa wakisikiliza kwa makini maelezo yanavotolewa na wakurugenzi wa Vazi hilo hapa Jiji Arusha.

Wadau wa vazi la Taifa wakisikiliza kwa makini mchakato wa vazi la Taifa linavyoendeshwa na wakurugenzi wa Vazi hilo, hapa Jijini Arusha.

 
Kushoto ni Ndugu Ndesumbuka Merinyo  Mkurugenzi wa Afrika Sana na Mjumbe wa kamati ya Vazi la Taifa,katikati ni Bi. Angella Ngowi Mkurugenzi msaidizi wa utamaduni na pia ni katibu wa kamati, pamoja na Mustafa Hassanali Mbunifu wa mavazi na mjumbe wa kamati ya Vazi la Taifa.

Kushoto ni Ndugu Ndesumbuka Merinyo  Mkurugenzi wa Afrika Sana na Mjumbe wa kamati ya Vazi la Taifa,katikati ni Bi. Angella Ngowi Mkurugenzi msaidizi wa utamaduni na pia ni katibu wa kamati.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad