JK AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA KAMISHENI YA UMOJA WA AFRIKA LEO IKULU, DAR - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


16 Feb 2012

JK AKUTANA NA NAIBU KATIBU MKUU WA KAMISHENI YA UMOJA WA AFRIKA LEO IKULU, DAR

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Bw. Erastus Mwencha, Naibu Katibu Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika. Katikati ni Kamishna wa Maendeleo ya vijijini na Kilimo wa Kamisheni hiyo, Bi Rhoda Tumusiime waliomtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo. Viongozi hawa wako nchini kuhudhuria Mkutano wa Mawaziri wa Kilimo toka nchi Saba za Afrika unaofunguliwa kesho (January 17, 2012) Kilimanjaro Hyatt hotel jijini Dar es salaam.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na wageni wake Ikulu jijini Dar es salaam leo Katikati ni Bw. Erastus Mwencha, Naibu Katibu Mkuu wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika na kushoto ni Kamishna wa Maendeleo ya vijijini na Kilimo wa Kamisheni hiyo, Bi Rhoda Tumusiime.
PICHA NA IKULU

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad