MWILI WA ADAM PHILLIP KUAMBIANA : SIMANZI, VILIO VYATAWALA WAKATI WA KUUAGA MWILI WA MSANII WA FILAMU NCHINI ,KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB JIJINI DAR ES SALAAM - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


20 May 2014

MWILI WA ADAM PHILLIP KUAMBIANA : SIMANZI, VILIO VYATAWALA WAKATI WA KUUAGA MWILI WA MSANII WA FILAMU NCHINI ,KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB JIJINI DAR ES SALAAM

Picha ya Adam Philip Kuambiana
Mwili wa Adam P. Kuambiana ukiwa umewekwa kwenye Jeneza Tayari kwa kuagwa, katia viwanja vya Leaders Club mchana wa leo.
Waombolezaji waliofika katika viwanja vya Leaders Club
Steve Nyerere akiwaelekeza wageni sehemu za kukaa katika viwanja vya Leaders Club
Waziri Dkt. Fenella Mukangara akiwasili kwenye tukio la kuuaga mwili wa Adam Kuambiana akiongozwa na Steve Nyerere
Baadhi ya Wasanii wa Filamu wakiwa katika Viwanja vya Leaders Club
Wanahabari wakichukua matukio mbali mbali katika viwanja vya leaders
Msanii 'Dokii" nae akilia kwa uchungu
Kushoto ni Dkt. Fenella Mukangara akiwa katika viwanja vya leaders ili kuuaga mwili wa marehemu Adam Kuambiana
Jokate Mwegelo akilia kwa uchungu
Baadhi ya Wasanii waliokuja kwenye msiba wa mwenzao Adam Kuambiana
Wema Sepetu akilia kwa uchungu
Wema na Aunty Ezekiel wakilia kwa Uchungu

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad