MATUKIO : DIWANI WA KATA YA SOMBETINI MHE. ALLY BANANGA AKARIBISHWA OFISINI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Tuesday, 11 February 2014

demo-image

MATUKIO : DIWANI WA KATA YA SOMBETINI MHE. ALLY BANANGA AKARIBISHWA OFISINI


A
Diwani Mteule Mhe. Ally Bananga akisaini kitabu cha wageni ofisini Manispaa ya Jiji la Arusha, na Mhe. Ephata Nanyaro Diwani wa Kata ya Levolosi (pembeni kushoto) kwa nyuma ni Mbunge wa Arusha Mjini Mhe. Godbless Lema.
C
Afisa Utumishi Manispaa ya Jiji la Arusha akitoa somo kwa Diwani mteule wa Sombetini Mh Ally Bananga (hayupo pichani).
D
Mhe. Godbless Lema Mbunge wa Arusha Mjini akimsindikiza Mhe. Ally Bananga (Diwani Mteule Kata ya Sombetini)
E
Mh Ngowi Mbunge viti Maalum Kilimanjaro akisaini kitabu cha wageni, nae alimsindikiza Diwani Mteule Mh.Ally Bananga. Kwa picha Zaidi bofya hapa >>>





No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *