WANAFUNZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA(AJTC) WALIVYOTEMBELEA CHUO CHA WALEMAVU USA-RIVER ARUSHA. - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Saturday, 20 October 2012

demo-image

WANAFUNZI WA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA(AJTC) WALIVYOTEMBELEA CHUO CHA WALEMAVU USA-RIVER ARUSHA.

A

IMG_3271
Wakufunzi na Wanafunzi wa chuo cha Uandishi wa Habari Arusha (AJTC ) Mr. Ngobole (mwenye shati jeusi kushoto) na Madam Neem Ezekiel (Mwenye Red na poch nyeusi) wakijadiliana kabla ya kutembelea sehemu mbali mbali za kituo hicho cha walemavu Usar-River Arusha.
IMG_3278
Mkurugenzi wa kituo hicho Mr. Diakon Claus Heim(Kulia) na Chaplin wa kituo hicho Mr. Elibariki Kaaya wakitoa maelekzo kwa ufupi.
IMG_3280
Wanachuo wakisikiliza kwa umakini
IMG_3284
Haya Twendeni kwenye eneo la washonaji wa Viatu ...
IMG_3286
Green colourz ilitawala na usomaji mzuri wa bronchure
IMG_3295
Viatu mabali mbali wanavyotengeneza walemavu wa kituo hicho.
IMG_3296
Viatu vya wazi wanavyotengeneza walemavu wa kituo hicho.
IMG_3299
Mafundi mashuhuri wakiwa katika karakana ya kutengenezea viatu tofauti tofauti....wakiwezeshwa wanaweza....!!
IMG_3310
Hili ni eneo la ushonaji wa nguo mbali mbali ,maelezo yakitolewa na mkufunzi wa chuo hicho Bw. Rams Mosha.
IMG_3312
Maelezo kidogo yakitolewa na mkufunzi wa eneo la ushonaji Bw. Rams Mosha.
IMG_3314
Mavazi mbali mbali wanayotengeneza walemavu hao,maelezo yanatolewa na mkufunzi wa eneo la ushonaji Bw. Rams Mosha.
IMG_3318
Madam Neema na wanafunzi wake wakifurahia Mavazi...Jamani kimini hichoooo!!!
IMG_3321
Kimini hichooooo.....
IMG_3324
Mavazi mbalimbali
IMG_3339
Huu ni upande wa karakana ya Viungo Bandia (Orthopaedic Workshop) ,hapa maelezo yakitolewa na mtaalam wa eneo hilo Bw. Nanyaro
IMG_3343
Hii ni mashine inayotengeneza Viungo Bandia (Orthopaedic Workshop) ,hapa maelezo yakitolewa na mtaalam wa eneo hilo Bw. Nanyaro

IMG_3344
Hii ni mashine ya kukatia vitu vinavyotengeneza Viungo Bandia (Orthopaedic Workshop) ,hapa maelezo yakitolewa na mtaalam wa eneo hilo Bw. Nanyaro
IMG_3345
Hii ni mashine ya kunyooshea vitu vinavyotengeneza Viungo Bandia (Orthopaedic Workshop) ,maelezo yakitolewa na mtaalam wa eneo hilo Bw. Nanyaro
IMG_3354
Hili ni duka la nguo zinazo shonwa na walemavu wa kituo hicho,Madam Neema(mkufunzi wa chuo cha uandishi wa habari Arusha) akifurahia vazi hilo.
IMG_3357

IMG_3358

IMG_3361
Mtangazaji wa kituo cha radio cha MJ FM ARUSHA .Bw Charles akipata picha ndani ya duka la vitu mbalimbali wanazotengeneza walemavu katika chuo hicho.
IMG_3364

IMG_3365

IMG_3378
Zawadi zikiwasilishwa na kiongozi wa wanachuo cha habari cha Arusha(AJTC)
IMG_3379
Mkufunzi wa chuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC) Bw, Ngobole Andrea akitoa zawadi zilizoletwa na wanachuo hao.
IMG_3383
Mkufunzi wa chuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC) B, Neema Ezekiel akitoa zawadi zilizoletwa na wanachuo hao.
IMG_3387
Picha ya pamoja na baadhi ya wanachuo wawili wa chuo cha walemavu Usar-River Arusha pamoja na wanachuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC).
IMG_3393
Kamera man wa tukio hilo(kushoto mwenye orange t-shirt) akipiga picha ya pamoja na baadhi ya wanachuo wawili wa chuo cha walemavu Usar-River Arusha, pamoja na wanachuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC).
IMG_3394
Mkurugenzi wa Wazalendo 25 Blog na Mwanachuo wa (AJTC,mwenye balck t-shirt) akipiga picha ya pamoja na baadhi ya wanachuo wawili wa chuo cha walemavu Usar-River Arusha pamoja na wanachuo cha uandishi wa habari Arusha (AJTC).
IMG_3397
Madam Neema Ezekiel akipiga picha na wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha
IMG_3399
Kiongozi mkuu wa wana-AJTC akipiga picha na wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha
IMG_3403
Presenter wa matukio yote, wa AJTC akipata machache toka kwa wanachuo cha ulemavu cha Usar-River Arusha

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *