Matukio : Wafanyakazi MCB Wajipanga Kuboresha zaidi Huduma Mwaka 2018 - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Sunday, 3 December 2017

demo-image

Matukio : Wafanyakazi MCB Wajipanga Kuboresha zaidi Huduma Mwaka 2018


NA K-VIS BLOG/Khalfan Said.



WAKATI Mwaka 2017 ukifikia ukingoni taasisi mbaliombali nchini zimeanza kuwakusanya watumishi wake na kufanya tathmini ya utendaji na kujadili namna ya kuzikabili changamoto walizokutana nazo ili hatimaye kuongeza ufanisi mwaka ujao 2018.

Miongoni mwa taasisi hizo ni Mwalimu Commercial Bank, (MCB), ambao wamekutana jijini Dar es Salaam, ili kufanya tathmini ya kiutendaji na kuweka mikakati mipya waingiapo mwaka 2018.

Wafanyakazi hao kutoka idara mbalimbali wakiongozwa na Afisa Mtednaji Mkuu wa MCB, Bw.Ronald Manongi pia walipatiwa semina kuhusu masuala mbalimbali ya kiuwajibikaji katika maeneo tofauti kutoka kwa mtaalamu wa kujenga umoja kwa wafanyakazi ili kupata matokeo bora, (Team building consultant), Elizabeth Wachuka.

Ili kuonyesha ushirikiano wafanyakazi hao walibadilishana zawadi mbalimbali ambapo kila mfanyakazi alimuandalia zawadi mfanyakazi anayemvutia zaidi kiutendaji.5R5A8036

Afisa Mtednaji Mkuu wa MCB, Bw.Ronald Manongi, akizunumza wakati wa semina hiyo jijini Dar es Salaam, Desemba 2, 2017
5R5A8031
Afisa Mtednaji Mkuu wa MCB, Bw.Ronald Manongi, akizunumza wakati wa semina hiyo jijini Dar es Salaam, Desemba 2, 2017
5R5A8053
Afisa Mtednaji Mkuu wa MCB, Bw.Ronald Manongi, akizunumza wakati wa semina hiyo jijini Dar es Salaam, Desemba 2, 2017
5R5A8056
Wafanyakazi kwa utulizvu kabisa wakisikiliza kilichokuwa kikizunhgumzwa.
5R5A8060
Wafanyakazi kwa utulizvu kabisa wakisikiliza kilichokuwa kikizunhgumzwa.
5R5A8068
Wafanyakazi kwa utulizvu kabisa wakisikiliza kilichokuwa kikizunhgumzwa.
5R5A8076

5R5A8102
Meneja Msoko, Bi. Rahma Ngassa
5R5A8108

5R5A8120
Wafanyakazi kwa utulizvu kabisa wakisikiliza kilichokuwa kikizunhgumzwa.
5R5A8346

Msaidizi wa Afisa Mtendaji Mkuu wa MCB, Furaha Johnson, akisaini kwenye makubaliano ya kimkakati ambayo kila mfanyakazi atawajibika
5R5A8307
Mtaalamu wa kujenga umoja kwa wafanyakazi ili kupata matokeo bora, (Team building consultant), Elizabeth Wachuka. akitoa mada.
5R5A8272
Wafanyakazi wakiwa kwenye kikundi wakijadiliana.
5R5A8309
Afisa Mtednaji Mkuu wa MCB, Bw.Ronald Manongi, (mwenye t-shirt ya mistari, akiungana na wafanyakazi wenzake katika majadiliano ya vikundi.
5R5A8229 Mtaalamu wa kujenga umoja kwa wafanyakazi ili kupata matokeo bora, (Team building consultant), Elizabeth Wachuka. akitoa mada.

5R5A8354
Picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *