Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Wednesday, 16 August 2017

demo-image

Maisha :Jaji Mark Bomani na mkewe washerehekea nusu karne ya ndoa yao


IMG-20170813-WA0013
Jaji Mstaafu Mark Bomani na mkewe wakikata keki katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao nyumbani kwao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.

IMG-20170813-WA0004
Rais Mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Sitti Mwinyi wakijiunga na Jaji Mstaafu Mark Bomani na mkewe katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.
IMG-20170813-WA0006
Rais Mstaafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Sitti Mwinyi na Mama Rose Rupia wakiwa na Jaji Mstaafu Mark Bomani na mkewe katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.
IMG-20170813-WA0007 Mark Bomani na mkewe katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.

IMG-20170813-WA0009
Mzee Joseph Butiku na mkewe wakiwa na Jaji Mstaafu Mark Bomani na mkewe katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.
IMG-20170813-WA0010
Keki ikiandaliwa
IMG-20170813-WA0011
Waziri Mkuu Mstaafu Jaji Joseph Sinde Warioba na mkewe Mama Everlyin Warioba wakiwa na Jaji Mstaafu Mark Bomani na mkewe katika hafla ndogo ya kusherehekea miaka 50 ya ndoa yao Mikocheni jijini Dar es salaam mwishoni mwa juma.
IMG-20170813-WA0012
Wakiwa na watoto na wajukuu kwenye sherehe ya nusu karne ya ndoa yao

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *