Matukio : Rais Dk. Magufuli atia saini Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016 - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


17 Nov 2016

Matukio : Rais Dk. Magufuli atia saini Sheria ya Huduma za Habari ya Mwaka 2016


Taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Gerson Msigwa imeeleza kuwa Rais Magufuli amesaini sheria hiyo jana tarehe 16 Novemba 2016 na kuwapongeza wadau wote kwa kufanikisha kutungwa kwake.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad