Matukio / Video : Rais Dk. Magufuli Aandaa Futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa Dini, Ikulu Jijini Dar - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Thursday, 16 June 2016

demo-image

Matukio / Video : Rais Dk. Magufuli Aandaa Futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa Dini, Ikulu Jijini Dar



fu1
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika foleni na wageni wake kwenda kuchukua chakula wakati wa kufuturu katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016
fu2
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es salaam Ndg. Ramadhani Madabida akifuatiwa na Mchungaji wa Kanisa la Maombezi (GRC) Lusekelo Anthony 'Mzee wa Upako' na wagemi wengine wakipakua chakula katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini iliyoandaliwa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016
IMGL0316
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Kadhi Mkuu wa Tanzania Sheikh Abdallah Mnyasi katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016.fu15
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea machache baada ya futari aliyoandaa Ikulu.
fu16
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea machache baada ya futari aliyoandaa Ikulu.
fu17
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea machache baada ya futari aliyoandaa Ikulu.
fu18
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea machache baada ya futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016.
fu3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli (katikati) akiwa meza kuu pamoja na viongozi mbalimbali
fu8
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
fu9
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
fu10
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
fu11
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
fu7
Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Petro Fr. Stephano Kaombwe alikuwa miongoni wa viongozi mbalimbali wa dini wakiwa kwenye hafla hiyo ya Ftari iliyoandaliwa na Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016.
fu12
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
fu13
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
fu14
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
IMGL0216
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
IMGL0217
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
IMGL0218
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
IMGL0231
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
IMGL0232
Sehemu ya wageni waliohudhuria hafla hiyo
IMGL0246
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea machache baada ya futari aliyoandaa Ikulu.
IMGL0250
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea machache baada ya futari aliyoandaa Ikulu.
IMGL0253
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea machache baada ya futari aliyoandaa Ikulu.
IMGL0259
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea machache baada ya futari aliyoandaa Ikulu.
IMGL0271
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiongea machache baada ya futari aliyoandaa Ikulu.
IMGL0275
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akipongezwa na kaimu Mufti Sheikh Hamid Masoud Jongo baada ya kuongea machache katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016.
fu4
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli (kati) na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa (wa pili) kushoto, Mama Kawawa (kushoto)  Hajjat Shamim Khan wakiwa katika hafla hiyo.
fu5
Mama Gervina Lukuvi (kushoto) na Mama Saada Othman Chande wakiwa katika hafla hiyo
fu6
IMGL0297

IMGL0298

IMGL0302
Kaimu Mufti Sheikh Hamid Masoud Jongo akiongoza dua bada ya futari Ikulu.
IMGL0306

IMGL0310
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni mbalimbali katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016.
IMGL0315
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni mbalimbali katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016.
IMGL0322
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni mbalimbali katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016.
IMGL0336
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na wageni mbalimbali katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016.
IMGL0342
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli na Mama Mary Majaliwa wakiwa na sehemu ya wageni kwenye hafla hiyo
IMGL0349
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli  akisalimiana na wageni waalikwa
IMGL0353
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli  akisalimiana na wageni waalikwa
IMGL0365
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli  akisalimiana na wageni waalikwa
IMGL0366
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli  akisalimiana na wageni waalikwa
IMGL0369
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli  na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa wakiwa na wageni waalikwa
IMGL0370
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Shamim Khan katika futari ya pamoja ya viongozi mbalimbali wa dini aliyoandaa Ikulu jijini Dar es salaam Jumanne Juni 14, 2016. Kushoto ni Mke wa rais Mama Janeth Magufuli akifuatiwa na Mke wa Waziri Mkuu Mama Mary Majaliwa.
IMGL0384
Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Saada Othman Chande.

No comments:

Post a Comment

Contact Form

Name

Email *

Message *

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *