Matukio : Mwili wa Marehemu Henry Kiherile waagwa Houston, Texas - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Tuesday, 19 April 2016

demo-image

Matukio : Mwili wa Marehemu Henry Kiherile waagwa Houston, Texas

Jioni ya jana Jumamosi (16/04) Jumuiya ya Watanzania waishio katika jiji la Houston na miji mingine ya karibu ilifanya Ibada Takatifu katika kanisa la Umoja kumuaga mpendwa wao Henry Kiherile aliyefariki wiki moja na nusu iliyopita baada ya kupigwa risasi na watu wasiojulikana. Ibada hiyo ilihudhuriwa na idadi kubwa ya watu waliokuwa na huzuni kubwa juu ya kifo hicho kilichogusa mioyo ya watu wengi. Mwili wa marehemu Henry unatarajiwa kusafirishwa jioni ya leo kuelekea nyumbani Tanzania kwa mazishi yanayotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam siku ya Ijumaa tarehe 22/04/2016. Pata picha za Misa hiyo hapa chini.

411199_10150858560976776_822074229_o
Marehemu Henry Kiherile enzi za uhai wake
_DSC0083
Gari lililobeba mwili wa Henry likiingia kanisani

_DSC0087
Wachungaji wakiwa nje ya kanisa kabla ya ibada
_DSC0092

_DSC0109
Jeneza lililobeba mwili wa Henry likiingizwa kanisani
_DSC0113
Dada  Lulu  ( mdogo wa Marehemu Henry ) akimuaga kwa uchungu kaka yake
_DSC0115
Mr. & Mrs. Tenende ( Baba na Mama mkubwa wa marehemu ) wakiwa kanisani

_DSC0124
Waombolezaji wakilia kwa uchungu
_DSC0133
Rafiki wa Henry kutoka Cameroon
_DSC0134
Waombolezaji
_DSC0141

_DSC0167

_DSC0183

_DSC0210

_DSC0212

_DSC0215

_DSC0227


_DSC0232

_DSC0268

_DSC0277

_DSC0281

_DSC0286

_DSC0291

_DSC0303

_DSC0312

_DSC0325

_DSC0333

_DSC0339

_DSC0341

_DSC0343

_DSC0350

_DSC0351

_DSC0353

_DSC0354

_DSC0356

_DSC0359

_DSC0361

_DSC0363

_DSC0389

_DSC0394

_DSC0398

_DSC0401

_DSC0403

_DSC0410

_DSC0411

_DSC0413

_DSC0425

_DSC0433

_DSC0435

_DSC0439

_DSC0441

_DSC0453

_DSC0455

_DSC0460

_DSC0466

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *