Matukio : Wajumbe wa kamati ya bunge ya katiba na sheria watembelea daraja la kigamboni - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


30 Mar 2016

Matukio : Wajumbe wa kamati ya bunge ya katiba na sheria watembelea daraja la kigamboni


Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja la Kigamboni kutoka NSSF, Mhandisi Karim Mataka akitoa maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipotembelea mradi wa ujenzi wa daraja hilo jijini Dar es Salaam leo.
Naibu waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Antony Mavunde akizungumza wakati wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipotembelea mradi wa ujenzi wa daraja la Kigamboni jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF, Prof. Godius Kahyarara, wa pili kushoto ni Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mohamed Omary na kulia ni Meneja Mradi wa Ujenzi wa Daraja la hilo kutoka NSSF, Mhandisi Karim Mataka.
Meneja Miradi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mhandisi John Msemo akitoa ufafanuzi juu ya ujenzi wa nyumba zinazojengwa NSSF kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipotembelea mradi wa nyumba za NSSF Mtoni Kijichi jijini Dar es Salaam.
Wajumbe wa Kamati ya Bunge wakikagua mradi wa ujenzi wa nyumba za Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) zilizopo Mtoni Kijichi jijini Dar es Salaam

Wajumbe wa Kamati ya Bunge wakikagua mradi wa ujenzi wa nyumba za Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) zilizopo Mtoni Kijichi jijini Dar es Salaam.
Meneja Miradi wa NSSF, Mhandisi John Msemo akiwaonyesha michoro ya ujenzi wa nyumba za Mtoni Kijichi wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipotembelea miradi ya NSSF leo.
Meneja Miradi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Mhandisi John Msemo akitoa ufafanuzi juu ya ujenzi wa nyumba zinazojengwa NSSF kwa wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria walipotembelea mradi wa nyumba za NSSF Mtoni Kijichi jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad