Matukio : Jafary Michael atembelea uwanja mdogo wa ndege wa moshi Mjini - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


14 Mar 2016

Matukio : Jafary Michael atembelea uwanja mdogo wa ndege wa moshi Mjini


Mbunge wa jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael (katikati) akiwa na Diwani wa kata ya Korongoni Ally Mwamba (kushoto) walipotembelea uwanja wa ndege mdogo wa Moshi .
Meneja wa Uwanja mdogo wa ndege wa Moshi,Fredrick Kimaro akisoma taarifa ya uwanja huo kwa Mbunge wa jimbo  la Moshi mjini Jafary Michael alipotembelea uwanja huo.
Mbunge wa Jimbo la Moshi mjini ,Jafry Michael akizungumza jambo alipotembelea uwanja huo kuona namna ya kukabiliana na changamoto zilizopo.
Meneja wa Uwanja huo Fredrick Kimaro akisisitiza jambo wakati akitoa maelezo kwa Mbunge wa jimbo la Moshi mjini alipotembelea uwanjani hapo.
Mbunge wa jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael akiwa ameongozana na Mkuu wa usalama wa uwanja huo Macmilan Matili kuangalia maeneo mbalimbali ya uwanja huo.
Meneja wa uwanja mdogo wa ndege Moshi,Fredrick Kimaro akimuonesha Mbunge wa jimbo la Moshi mjini ,Jafary Michael eneo la maegesho ya ndege katika uwanja huo.
Mbunge Jafary Michael na ujumbe wake wakiongozwa kupita katika eneo la kutua ndege uwanjani hapo.
Meneja wa uwanja wa ndege wa Moshi ,Fredrick Kimaro akimsikiliza kwa makini Mbunge Jafary Michael wakatia akishauri jambo baada ya kutembelea maeneo mbalimbali ya uwanja huo.
Eneo la kukimbilia ndege katika uwanja mdogo wa ndege Moshi likionekana katika hali hii.

Na Dixon Busagaga wa  Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad