Maisha ni Nyumba :JK alipoweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa nyumba za NHC huko Rahaleo, mjini Mtwara - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


11 Oct 2015

Maisha ni Nyumba :JK alipoweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa nyumba za NHC huko Rahaleo, mjini Mtwara

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na watendaji wa Shirikia la Nyumba la Taifa (NHC) alipowasili eneo la Rahaleo mjini Mtwara kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Bi. Evelyn Mugasha wa Wizara ya Ardhi alipowasili eneo la Rahaleo mjini Mtwara kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na watendaji wa Shirikia la Nyumba la Taifa (NHC) alipowasili eneo la Rahaleo mjini Mtwara kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na watendaji wa Shirikia la Nyumba la Taifa (NHC) alipowasili eneo la Rahaleo mjini Mtwara kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na watendaji wa Shirikia la Nyumba la Taifa (NHC) alipowasili eneo la Rahaleo mjini Mtwara kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na wakandarasi alipowasili eneo la Rahaleo mjini Mtwara kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Wasanii wa kundi la Hapa Kazi TU wakitumbuiza eneo la Rahaleo mjini Mtwara katika sherehe za kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu akiongea eneo la Rahaleo mjini Mtwara katika sherehe za kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Sehemu ya mradi huo
 Sehemu ya mradi 
 Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu akiongea eneo la Rahaleo mjini Mtwara katika sherehe za kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Angela Kairuki akimkaribisha Rais Kikwete kuhutubia  eneo la Rahaleo mjini Mtwara katika sherehe za kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia  eneo la Rahaleo mjini Mtwara katika sherehe za kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia  eneo la Rahaleo mjini Mtwara katika sherehe za kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya mradi toka kwa Mkurugenzi Mkuu wa NHC Bw. Nehemia Mchechu   eneo la Rahaleo mjini Mtwara katika sherehe za kuweka jiwe la msingi mradi wa nyumba wa NHC Jumamosi Oktoba 10, 2015
Uzinduzi wa mradi huo
 Picha ya pamoja na makandarasi wa mradi huo
 Picha ya pamoja na watendaji wa NHC
Picha ya pamoja na wakandarasi wa mradi

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad