
![]() |
| Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Joshua Nassari akizungumza na wananchi katika kata ya Maruanga . |

![]() |
| Baadhi ya wananchi katika kata ya Maruanga wakimshangilia Nassari ,(hayuko pichani) |

![]() |
| Nassari akiwaapisha wananchi katika kata ya Maruanga huku akiwataka kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura. |

![]() |
| Mbunge Joshua Nassari akiwaoesha wanachi magari mawili ya kubebea wagonjwa aliyotoa kusaidia wakazi wa jimbo la Arumeru Mashariki. Na Dixon Busagaga wa Kanda ya Kaskazini. |






No comments:
Post a Comment