Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya maafisa waliofika
kumpokea wakati akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dulles
tayari kwa Mkutano wa Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Amerika na
Africa (US-Africa Leaders summit) uliondaliwa na Rais Barack Obama wa
unaotaraji kuanza Agosti 4-hadi 6, 2014, ambao utatanguliwa na mikutano
mingine ya maendeleo ya sekta mbalimbali na uwekezaji (2-3 Agosti, 2014)
jijini Washington DC. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani,Balozi
Liberata Mulamula.
TUME YA MADINI YAENDESHA MAFUNZO YA PEPMIS
-
*Tume ya Madini kupitia Kurugenzi ya Huduma za Tume leo Aprili 29, 2024
imeendesha mafunzo maalum kuhusu utekelezaji wa mfumo wa upimaji wa
utendaj...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment