Mama yake na mtoto wangu Glory,nakupenda sana mke wangu yangu...!!! Mungu akupe maisha marefu. Sina cha kukupa au cha kusema ila nasema hivii : NAKUPENDA SANA MKE WANGU. NITAKUPENDA DAIMA HADI KIFO KITAKAPO TUTENGANISHA. I LOVE YOU MY WIFE. Mke wa The CEO of Wazalendo 25 Blog, Gadiola.

No comments:
Post a Comment