UBALOZI WA CHINA TANZANIA WATOA PIKIPIKI 20 KWA KAMPUNI YA TSN JIJINI DAR - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Thursday, 21 November 2013

demo-image

UBALOZI WA CHINA TANZANIA WATOA PIKIPIKI 20 KWA KAMPUNI YA TSN JIJINI DAR


MMG23132
MMG23218
 Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Mh. Dkt. Fenella Mukangara (kushoto) akipeana mkono na Balozi wa China nchini Tanzania,Mh. Lu Younqing wakati akipokea Msaada wa Pikipiki 20 zilizotolewa kwa Kampuni ya Uchapishaji wa Magazeti ya Serikali (Tanzania Standard Newspapers),wakati wa hafla fupi iliyofanyika leo nje ya Jengo la Golden Jubilee,Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Kaimu Mhariri Mtendaji wa TSN,Gabriel Nderumaki.
MMG23193
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Mh. Dkt. Fenella Mukangara (kushoto) na Balozi wa China nchini Tanzania,Mh. Lu Younqing wakiwa wamepanda pikikipi hizo ikiwa ni ishara ya kuzizindua kwa ajili ya Matumizi.
MMG23161
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Mh. Dkt. Fenella Mukangara akipanda kwenye moja ya pikipiki hizo.
MMG23234
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Mh. Dkt. Fenella Mukangara akitoa hotuba yake wakati wa hafla hiyo.
MMG23111
Balozi wa China nchini Tanzania,Mh. Lu Younqing akizunzumza machache wakati wa hafla hiyo.
MMG23040
Kaimu Mhariri Mtendaji wa TSN,Gabriel Nderumaki akizungumza.
MMG23050
Mwenyekiti wa Bodi ya TSN,Prof. Moses Warioba akizungumza machache kabla ya kumkaribisha Mgeni Rasmi,Mh. Dkt. Fenella Mukangara kuzungumza na Wafanyakazi wa TSN na wageni mbali mbali kutoka China.
MMG23096
Mwenyekiti wa Wafanabiashara wa China,Bw. Huan Zan Sen akizungumza machache.
MMG23262
Mwenyekiti wa Bodi ya TSN,Prof. Moses Warioba  (kushoto) akimkabidhi Zawadi kwa Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Mh. Dkt. Fenella Mukangara
MMG23269
MMG23286
Waziri wa Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Mh. Dkt. Fenella Mukangara akikabidhi zawadi kwa Balozi wa China nchini Tanzania,Mh. Lu Younqing. Kwa picha Zaidi bofya hapa >>>

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *