MKANDAMIZAJI "EMANUEL MGAYA" NA SHILOLE NDANI YA UBALOZI WA MAREKANI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Monday, 1 July 2013

demo-image

MKANDAMIZAJI "EMANUEL MGAYA" NA SHILOLE NDANI YA UBALOZI WA MAREKANI


IMG_3612
 Juu na chini ni Wasanii Masanja Mkandamizaji na Shilole wakiwa nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania, Washington, DC mara walipopita na kupiga picha nje ya mjengo Jumapili June 30, 2013 walipokua wakitokea uwanja wandege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia. Kesho mchana Jumanne April 2, 2013 watatembelea rasmi mjengo huo na kusaini kitabu cha wageni.
IMG_3614
IMG_3621
 Masanja na Shilole wakiwa na mwenyekiti wa kamati ya maandalizi wakiangalia menyu tayari kwa kuagiza dinner ya mchana walipokwenda mgahawa wa kijiji cha Swahili uliopo Beltsville, Maryland
IMG_3623
 Shilole na Masanja katika picha ya pamoja na mmiliki wa mgahawa wa Swahili Village Bwn.Kelvin.
IMG_3627
Masanja na Shilole wakiingia kwenye usafiri wao kuelekea Hotelini walikofikia.  kwa hisani ya Lukaza Blog

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *