DR. SHEIN AZUNGUMZA NA WANAFUNZI NCHINI CHINA - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Friday, 31 May 2013

demo-image

DR. SHEIN AZUNGUMZA NA WANAFUNZI NCHINI CHINA

.com/blogger_img_proxy/Wanafunzi wa Tanzania wanaosoma Elimu za Juu katika Vyuo Vikuu katika Mji wa Nanjing Jimbo la Jiangsu nchini China,wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa  Sofitel Luxury Hotel,katika mazungumzo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein. .com/blogger_img_proxy/Wanafunzi wa Tanzania wanaosoma Elimu za Juu katika Vyuo Vikuu katika Mji wa Nanjing Jimbo la Jiangsu nchini China,wakisikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) wakati alipozungumza nao katika ukumbi wa mikutano wa  Sofitel Luxury Hotel, Mjini Nanjing katika jimbo la Jiangsu akiwa katika ziara  ya Kiserikali. .com/blogger_img_proxy/Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto) akiwa na Mama Mwanamwema Shein,kushoto pamoja na Mawaziri na Maofisa aliofuatana nao katika ziara ya Kiserikali nchini China,Rais alipata muda wa kuzungumza na wanafunzi wa Tanzania wanaosoma  katika Vyuo Vikuu mbali mbali, na  aliwaelezea  hali halisi ya Utulivu na Amani Iliyopo nchini Tanzania  ambapo aliwataka kuondokana na wasiwasi. .com/blogger_img_proxy/Mwanafunzi Sauli Elingarama ,Dkt wa Binadamu aliokuwa akiuliza swali mbele ya Rais  wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,wakati wa mazungumzo na Wanafunzi wa Tanzania wanaosoma Vyuo Vikuu vya Mji wa  Nanjing Nchini China katika jimbo la Jiangsu,Rais yupo  China kwa ziara ya kiserikali.Picha na Ramadhan Othman China.

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *