Changamoto za maisha jijini Arusha - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0676 643 633

6 Dec 2012

Changamoto za maisha jijini Arusha

Hapa ngumi zilitembea maeneo ya stendi ndogo ,mpaka watu walipo kuja kuamua ..hii ni changamoto za maisha ndani ya ukodakta wa daladala,mwenye nguvu ndie mla nyama.
Hapa sijui ni style gani ...??naomba majibu wadau ...mambo ya fashion.
Karibu jijini Arusha ufurahie mandhari na mazingia mazuri kama haya,maeneo ya majengo ....Arusha ARTS & GALLERY.
Mwandishi wa kimataifa Bw. Adam Ihucha akiwa kikazi zaidi....Mwanaume asifiwi kula bana...anasifiwa kazi......!!
Sema neno moja tu kuhusu hii picha, kupitia email yangu ya: gadiola25@gmail.com
Jombaaa ana wahi kazini...Steve.......huku ni mtindo wa kazi kwanza mahesabu jioniiii....!!!!
Hizi hatua tu zinaonyesha jinsi huyu jamaa anavyowaza kilichopo mbele yake tu....kazi ..kazi...kazi...!!!!

No comments:

Post a Comment


PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633