Changamoto za maisha jijini Arusha - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Thursday, 6 December 2012

demo-image

Changamoto za maisha jijini Arusha

A
Hapa ngumi zilitembea maeneo ya stendi ndogo ,mpaka watu walipo kuja kuamua ..hii ni changamoto za maisha ndani ya ukodakta wa daladala,mwenye nguvu ndie mla nyama.
B
Hapa sijui ni style gani ...??naomba majibu wadau ...mambo ya fashion.
C
Karibu jijini Arusha ufurahie mandhari na mazingia mazuri kama haya,maeneo ya majengo ....Arusha ARTS & GALLERY.
D
Mwandishi wa kimataifa Bw. Adam Ihucha akiwa kikazi zaidi....Mwanaume asifiwi kula bana...anasifiwa kazi......!!
E
Sema neno moja tu kuhusu hii picha, kupitia email yangu ya: gadiola25@gmail.com
F
Jombaaa ana wahi kazini...Steve.......huku ni mtindo wa kazi kwanza mahesabu jioniiii....!!!!
G
Hizi hatua tu zinaonyesha jinsi huyu jamaa anavyowaza kilichopo mbele yake tu....kazi ..kazi...kazi...!!!!

No comments:

Post a Comment

Tuwasiliane

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *