| Hapa na mimi nilikua nacheki mazingira...mzalendo 1 a.k.a Gadiola from Arusha to Dodoma Nane Nane |
| Huwezi kutaja kilimo kwanza Dodoma bila Zabibu.. |
| Na Miwa nayo ipo kwenye kilimo kwanza.... |
| Ili kilimo kiwe cha ufanisi lazima uwe na Pembejeo za kilimo kama Matrekta..... |
| Wenyeji wangu na wadau wa blog yetu ya WAZALENDO |
| Na hii ...nayo ilikuwepo..Ewura... |
| Hata wachina nao walikuwepo...... |
| Wanyama walikuwepo kama Ngorongoro na Serengeti.. |
| Huyu mshikaji alikua amelala ....watu wakafurahi sana..kwasababu pangechimbika..... |
| Pia na huyu Chui alikuwa amelala ,sasa sijui waliambiwa walale..?? |
| Hata huyu nae alikuwa amelala..!!?? |
| Maelezo ya huyo KOBE hapo juu... |
| Watu walikuwa wengi sana..... |
| Nisaidieni haya hapa ....hata mimi sikufahamu anamaanisha nini..... |
| Maofisi yalikuwepo mengi na Mawaziri pia walikuwepo wengi sana.... |
| Hii huduma ilikuwepo sambamba |
No comments:
Post a Comment