NANE DODOMA 2011 NA MATUKIO MBALIMBALI - Wazalendo 25 Blog

Glory to Story.

Habari Mpya

PRINTING / GRAPHICS / DESIGN : 0784 643 633

Sunday, 7 August 2011

NANE DODOMA 2011 NA MATUKIO MBALIMBALI


Hapa na mimi nilikua nacheki mazingira...mzalendo 1 a.k.a Gadiola from Arusha to Dodoma Nane Nane


Huwezi kutaja kilimo kwanza Dodoma bila Zabibu..

Na Miwa nayo ipo kwenye kilimo kwanza....

Ili kilimo kiwe cha ufanisi lazima uwe na Pembejeo za kilimo kama Matrekta.....

Wenyeji wangu na wadau wa blog yetu ya WAZALENDO

Na hii ...nayo ilikuwepo..Ewura...

Hata wachina nao walikuwepo......

Wanyama walikuwepo kama Ngorongoro na Serengeti..

Huyu mshikaji alikua amelala ....watu wakafurahi sana..kwasababu pangechimbika.....

Pia na huyu Chui alikuwa amelala ,sasa sijui waliambiwa walale..??

Hata huyu nae alikuwa amelala..!!??


Maelezo ya huyo KOBE hapo juu...

Watu walikuwa wengi sana.....

Nisaidieni haya hapa ....hata mimi sikufahamu anamaanisha nini.....

Maofisi yalikuwepo mengi na Mawaziri pia walikuwepo wengi sana....

Hii huduma ilikuwepo sambamba

No comments:

Post a Comment