Video mpaya ya wasanii wa kutoka Jiji la Arusha katika kundi la " WEUSI" ambao ni Joh Makini, Nikki Wa II pamoja na G.Nako, na video
hii inaitwa NJE YA BOX. Na Director wa video ni mkali wa video za aina Hip Hop, kijana Nisher. Itazame hapa chini...
WATUMISHI WA TUME YA MADINI WASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI KITAIFA NJOMBE
-
*Na Mwandishi wetu, Njombe*
*Watumishi wa Tume ya Madini kwa kushirikiana na Ofisi ya Afisa Madini
Mkazi wa Mkoa wa Njombe wameshiriki kikamilifu kati...
52 minutes ago

No comments:
Post a Comment