Video mpaya ya wasanii wa kutoka Jiji la Arusha katika kundi la " WEUSI" ambao ni Joh Makini, Nikki Wa II pamoja na G.Nako, na video
hii inaitwa NJE YA BOX. Na Director wa video ni mkali wa video za aina Hip Hop, kijana Nisher. Itazame hapa chini...
MIRADI YA CHUMA NJOMBE KUTIKISA UCHUMI, AJIRA MAELFU KUNUKIA LUDEWA
-
*Njombe**Mkoa wa Njombe unatarajiwa kuwa kitovu kipya cha uchumi wa madini
nchini kufuatia uwekezaji mkubwa katika miradi ya uchimbaji na uchakataji
wa m...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment