Video mpaya ya wasanii wa kutoka Jiji la Arusha katika kundi la " WEUSI" ambao ni Joh Makini, Nikki Wa II pamoja na G.Nako, na video
hii inaitwa NJE YA BOX. Na Director wa video ni mkali wa video za aina Hip Hop, kijana Nisher. Itazame hapa chini...
MUHIMBILI YAFANIKISHA UPASUAJI WA KWANZA WA KUTENGANISHA MAPACHA
WALIOUNGANA AINA YA PARASITIC CONJOINED TWINS
-
Madaktari bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) leo, Agosti 6, 2026,
wamefanikiwa kufanya upasuaji wa kwanza wa kutenganisha mapacha walioungana
a...
17 minutes ago

No comments:
Post a Comment