Zanzibar /Afya : Waziri, Azindua Baraza la Watoto - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


20 Feb 2017

Zanzibar /Afya : Waziri, Azindua Baraza la Watoto



Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki ambae ni Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akizindua Baraza la Watoto wa Shehia ya Kiembesamaki katika sherehe zilizofanyika Tawi la CCM Kiembesamaki.

Baadhi ya watoto wa Shehia ya Kiembesamaki wakimsikiliza Mwakilishi wao Mahmoud Thabit Kombo wakati wa uzinduzi wa Baraza lao kwenye sherehe zilizofanyika Tawi la CCM Kiembesamaki Wilaya Magharibi ‘B’.
Picha na Makame Mshenga/Maelezo Zanzibar.

Katibu wa Baraza la Watoto Shehia ya Kiembesamaki Zulfa Mohd Masanja akisoma risala wakati wa sherehe za ufunguzi wa Baraza hilo zilizofanyika Tawi la CCM Kiembesamaki, Wilaya ya Magharibi ‘B’.

Watoto wa Baraza la watoto Shehia ya Kiembesamaki wakionyesha igizo lenye maudhui ya udhalilishaji watoto wakati wa sherehe za kulizindua baraza hilo.

Mgeni rasmi katika uzinduzi wa Baraza hilo, Mwakilishi wa Jimbo la Kiembesamaki ambae pia ni Waziri wa Afya Mahmoud Thabit Kombo akifuatilia maonyesho ya watoto wa Baraza hilo (kulia) Mwenyekiti wa Bodi ya ushauri ya watoto Zanzibar Mundhir Hamdan Said.


Mwenyekiti wa Baraza la Watoto Shehia ya Kiembesamaki Bimkubwa Haji Hassan akimkaribisha mgeni rasmi kuzindua Baraza la watoto la shehia hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad