Matukio : Mahakama Kuu Jijini Arusha Yamvua Ubunge Mbunge wa Longido Onesmo Ole Nangole (CHADEMA) , yaamuru uchaguzi urudiwe Upya - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


29 Jun 2016

Matukio : Mahakama Kuu Jijini Arusha Yamvua Ubunge Mbunge wa Longido Onesmo Ole Nangole (CHADEMA) , yaamuru uchaguzi urudiwe Upya


Aliyekwa Mbunge wa Jimbo la Longido,Mh.Onesmo NangoleKesi iliyokuwa ikiunguruma kuanzia Februari 29 ,2016 katika Mahakam Kuu jijini Arusha imetolewa hukumu leo hiiKatika shauri hilo aliyekuwa mgombea ubunge wa CCM jimbo la Longido Dkt Kiruswa alifikisha mahakamni shauri hilo la kupinga matokeo ya ushindi dhidi ya mbunge wa Longido Mh.Onesmo Nangole.Akisoma hukumu hiyo,Jaji Mwagesi alisema kuwa mlalamikaji ndugu Kiruswa aliwakilishwa na Wakili msomi Dr.Masumbuko Lamwai na Wakili Haraka.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad