Happy Birthday Mr. President : Rais Jakaya Mrisho Kikwete Asherehekea Siku yake ya Kuzaliwa na Wajukuu - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


8 Oct 2015

Happy Birthday Mr. President : Rais Jakaya Mrisho Kikwete Asherehekea Siku yake ya Kuzaliwa na Wajukuu


Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya sherehe za miaka 65 ya kuzaliwa kwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete na miaka 55 ya kuzaliwa mdogo wake Yusufu Mrisho Kikwete jana jioni jijini Dar es salaam. Rais Kikwete na mdogo wake walisherehekea siku zao za kuzaliwa kwa kukata na kula keki na wajukuu wao na wa jamaa, ndugu na marafiki waliowaalikwa kwenye sherehe hii fupi iliyojaa furaha na bashasha.
Keki
Wajukuu wakimchukua babu wakamwimbie na kukata naye keki
Mjukuu akiogoza wajukuu wenzie kumwimbia babu
Wajukuu wakimwimbia babu
Wajukuu wakimsaidia babu kupuliza mishumaa
Babu akikata keki huku wajukuu wakiisubiri kwa hamu
Wajukuu wakiendelea kusubiri keki
Babu akiwalisha wajukuu keki
Kila mjukuu alipata keki
Keki ya babu taaamuu.....
Mufti Mkuu wa Taanzania na wageni wengine waalikwa wakishuhudia babu akiwalisha keki wajukuu
Sasa ni zamu ya babu kulishwa keki na wajukuu
 "....We love you babu..."
Karibu keki babu...
Babu akiendelea kulisha keki wajukuu
Bibi, Mama Salma Kikwete, akimsaidia Babu kuhakikisha kila mjukuu kapata keki
Kila mjukuu anapata keki
Babu na bibi wakiendelea kuandaa keki
Selfie zilikuwepo pia. Blogu ya Wazalendo 25 Blog Inakutakia Maisha Mema na Yenye Afya Rais Wetu Jakaya Mrisho Kikwete...!!! HAPPY BIRTHDAY MR. PRESIDENT

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad