Matukio :Samuel Chamlomo wa TBC Dodoma Afariki Dunia - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


20 May 2015

Matukio :Samuel Chamlomo wa TBC Dodoma Afariki Dunia

Tasnia ya Habari nchini Tanzania imepata pigo kufutia kifo cha Mwanahabari wa TBC kanda ya Kati Dodoma, Samuel Chamlomo (pichani) aliyefariki baada ya kuugua ghafla wakati akitekeleza majukumu yake ya kazi Bungeni mjini Dodoma juzi.
 
Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina la Bwana Lihimidiwe.
 
Blogu ya Wazalendo 25 Blog Inawapa Pole Familia ya Samwel Chamlomo

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad