Teknolojia Yetu : DK. Jakaya Kikwete Kuzindua Studio za Azam TV , Bilioni 56 zatumika Kujenga - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


5 Mar 2015

Teknolojia Yetu : DK. Jakaya Kikwete Kuzindua Studio za Azam TV , Bilioni 56 zatumika Kujenga


JUMLA dola za Kimarekani Milioni 31 (zaidi ya Sh. Bilioni 56 za Tanzania) zimetumika kutengeneza studio mpya za kisasa za Azam TV, zilizopo eneo la Tabata Relini, Dar es Salaam.Hayo yamesemwa na Naibu Mtendaji Mkuu wa Azam Media Limited, Tido Mhando wamiliki wa Azam TV leo mchana katika Mkutano na Waandishi wa Habari, Tabata, Dar es Salaam. Mhando mwenye uzoefu wa kuongoza kampuni kubwa za vyombo vya habari zikiwemo Idhaa ya Kiswahili BBC, Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) na Mwananchi Communication Limited (MCL), amesema studio hizo zina ubora kuliko nyingine zote nchini. Kwa Maelezo Zaidi Bofya Hapa >>>

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad