Matukio : TICTS Yasherehekea na Familia zao, Jijini Dar es Salaam - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


8 Dec 2014

Matukio : TICTS Yasherehekea na Familia zao, Jijini Dar es Salaam


Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ushushaji Mizigo Bandarini - Tanzania International Container Terminal (Ticts), Paul Wallace (kulia) akimkabidhi zawadi kwa timu kapteni wa timu ya Operations ambao waliibuka kidedea dhidi ya Workshop kwa kunyakua makombe yote katika michezo mbali mbali iliyochezwa katika Bonanza la Siku ya Familia iliyofanyika mwishoni mwa wiki ndani ya Kiota cha Kunduchi Wet and Wild jijini Dar es Salaam. Lengo la Siku hiyo ilikuwa ni kuwakutanisha wafanyakazi na familia zao zifurahi kwa pamoja.
Salamu zikiendelea...
Picha ya pamoja na vikombe vyao vya ushindi.

Michezo kwa watoto ikiendelea.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ushushaji Mizigo Bandarini - Tanzania International Container Terminal (Ticts), Paul Wallace akifafanua jambo mbele ya waandishi wa habari.
Meneja Kitengo cha Makontena TICTS, Bw. Donald Talawa akielezea madhumuni ya siku ya familia iliyoandaliwa na TICTS.
Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Ushushaji Mizigo Bandarini - Tanzania International Container Terminal (Ticts), Paul Wallace (kulia) akiteta jambo na Meneja Kitengo cha Makontena TICTS, Bw. Donald Talawa.
Michezo ikiendelea.
Ilikuwa ni vuta nikuvute mpaka pale Operations walipowatoa mchuzi Workshop.
Mchezo ulinogeshwa na lile shindano la kukamata kuku.
Familia zikipata chakula pamoja.
Maongezi ya hapa na pale yalikuwepo.
Mashindano ya kuogelea nayo yalishika hatamu.
Mpira wa mikono nao ulinoga.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad