Maji ni Uhai : Mhe. Amos Makalla Atembelea Miradi ya Maji katika Halmashauri ya Meru ,Jijini Arusha - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


19 Dec 2014

Maji ni Uhai : Mhe. Amos Makalla Atembelea Miradi ya Maji katika Halmashauri ya Meru ,Jijini Arusha

Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akiongozana na ujumbe wake kutembelea Kata ya Makiba iliopo kwenye kijiji cha Valeska Wilayani Arumeru akiwa katika ziara ya Kikazi leo.
Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akisikiliza maelezo ya mradi wa maji toka kwa mmoja wa watendaji katika Kata hiyo.Kushoto ni Diwani wa Kata ya Makiba,Bi. Mwanaid Kimu.
Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akiangalia kisima cha maji katika kijiji cha Majengo kata ya Makiba.
Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akiwa katika ukaguzi wa tanki la maji kijiji cha Patanumbe Kata ya Makiba.
Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akivishwa vasi la kimila wakati alipokutana na wanakijiji wa Patanumbe Kata ya Makiba Wilayani Arumeru.
Naibu Waziri Maji,Mh. Amos Makalla akijibu maswali mbalimbali kutoka kwa waandishi wa habari.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad