Teknolojia : Gadner G. Habash Ahamia EFM, Kuanza kusikika Hewani Jumatatu Saa Tisa Alasiri - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


31 Oct 2014

Teknolojia : Gadner G. Habash Ahamia EFM, Kuanza kusikika Hewani Jumatatu Saa Tisa Alasiri


Mtangazaji mahiri Gardner.G. Habash,amejiunga na kituo cha Radio kinachokuja kwa kasi hivi sasa EFM 93.7 cha jijini Dsm ili kuongeza nguvu katika kikosi chao.Akizungumza leo na waandishi wa habari afisa habari wa EFM Kanky Mwaigomole amesema wameamua kumchukua Gardner kwasababu ni miongoni mwa watangazaji hodari nchini mwenye kipaji cha hali ya juu hivyo kuongeza chachu ya mafanikio katika kituo hicho kipya.“Gardner ataendesha kipindi kiitwacho Ubaoni kuanzia saa tisa alasiri mpaka saa moja kamili jioni kuanzia Jumatatu ya tarehe 03 mwezi wa 11 mwaka huu”alisema Kanky

Kwa Maelezo zaidi Bofya hapa >>>

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad