Mtangazaji mahiri Gardner.G. Habash,amejiunga na kituo cha Radio
kinachokuja kwa kasi hivi sasa EFM 93.7 cha jijini Dsm ili kuongeza nguvu
katika kikosi chao.Akizungumza leo na waandishi wa habari afisa habari wa EFM Kanky
Mwaigomole amesema wameamua kumchukua Gardner kwasababu ni miongoni mwa
watangazaji hodari nchini mwenye kipaji cha hali ya juu hivyo kuongeza
chachu ya mafanikio katika kituo hicho kipya.“Gardner ataendesha kipindi kiitwacho Ubaoni kuanzia saa tisa alasiri
mpaka saa moja kamili jioni kuanzia Jumatatu ya tarehe 03 mwezi wa 11 mwaka
huu”alisema Kanky
DC LUDEWA AFANYA KISOMO KUMWOMBEA RAIS DKT. SAMIA
-
Na. Damian Kunambi, Njombe
Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Victoria Mwanziva akiambatana na Mkurugenzi wa
Halamashauri, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) pamo...
WATANZAMIA TUMIENI FURSA KUPELEKA BIDHAA UINGEREZA
-
-Dkt. Kijaji: Watanzania tumieni fursa kupeleka bidhaa Uingereza.
Serikali imewashauri watanzania kutumia fursa ya mpango wa biashara wa Nchi
zinazoendelea...
My faves handbags on Sale..
-
I am one of those people love handbags. Designers, non designers, I am a
sacker of a quality handbag but in very affordable prices. So when Tumore
prosta...
Jinsi ya Kukuza Biashara
-
*Dar es Salaam.* Waswahili wanasema polepole ndio mwendo na mtaka cha
uvunguni sharti ainame. Hiyo ni misemo inayoakisi maisha ya Senkondo
Mashaka (23), ...
FASIHI ANDISHI-KWA KIDATO CHA TATU NA NNE.
-
*Mwalimu wa Kiswahili*
1.Fasihi hubeba yote anayoibusha binadamu katika maisha yake ya kila
siku.Jadili kauli hii kwa mifano- Maudhui (Dhamira)
2.Fasihi ...
No comments:
Post a Comment