Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na baadhi ya maafisa waliofika
kumpokea wakati akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dulles
tayari kwa Mkutano wa Viongozi wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Amerika na
Africa (US-Africa Leaders summit) uliondaliwa na Rais Barack Obama wa
unaotaraji kuanza Agosti 4-hadi 6, 2014, ambao utatanguliwa na mikutano
mingine ya maendeleo ya sekta mbalimbali na uwekezaji (2-3 Agosti, 2014)
jijini Washington DC. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani,Balozi
Liberata Mulamula.
TANTRADE YASHIRIKIANA NA WIZARA YA MAMBO YA NJE KUTOA MAFUNZO YA UUZAJI
BIDHAA, UINGEREZA.
-
Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTARADE) kwa kushirikiana na
Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara ya Viwanda na Biashara Imeratibu Semina ya
Waf...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment