UPIMAJI WA SARATANI :MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI UPIMAJI WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI KWA AKINA MAMA HAPA NCHINI. - Wazalendo 25 Blog

Habari Mpya

Glory to Story.


Post Top Ad


9 Mar 2014

UPIMAJI WA SARATANI :MAMA SALMA KIKWETE AZINDUA RASMI UPIMAJI WA SARATANI YA MLANGO WA KIZAZI KWA AKINA MAMA HAPA NCHINI.


 Mamia ya akina mama na wananchi wa Jiji la Mwanza wakishiriki katika sherehe ya uzinduzi  wa upimaji wa saratani ya mlango wa kizazi kwenye uwanja wa Nyamagana ambapo Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alikuwa mgeni rasmi katika shughuli hiyo.
 Mamia ya akina mama na wananchi wa Jiji la Mwanza wakishiriki katika sherehe ya uzinduzi  wa upimaji wa saratani ya mlango wa kizazi kwenye uwanja wa Nyamagana ambapo Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alikuwa mgeni rasmi katika shughuli hiyo 
 Mamia ya akina mama na wananchi wa Jiji la Mwanza wakishiriki katika sherehe ya uzinduzi  wa upimaji wa saratani ya mlango wa kizazi kwenye uwanja wa Nyamagana ambapo Mke wa Rais Mama Salma Kikwete alikuwa mgeni rasmi katika shughuli hiyo.
 Ngoma ya asili ya kabila la Wasukuma ya Bugobogobo ikichezwa kwa umahiri mkubwa hata kumfanya Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete aliyekuwa Mgeni rasmi katika sherehe hiyo kushuka jukwaani na kuicheza na baadaye kumzawadia  mtoto wa kikundi hicho kutoka Mji wa Magu wakati wa sherehe za uzinduzi wa upimaji wa saratani ya mlango wa kizazi uliofanyika katika uwanja wa Nyamagana huko Mwanza
 Ngoma ya asili ya kabila la Wasukuma ya Bugobogobo ikichezwa kwa umahiri mkubwa hata kumfanya Mke wa Rais, Mama Salma Kikwete aliyekuwa Mgeni rasmi katika sherehe hiyo kushuka jukwaani na kuicheza na baadaye kumzawadia  mtoto wa kikundi hicho kutoka Mji wa Magu wakati wa sherehe za uzinduzi wa upimaji wa saratani ya mlango wa kizazi uliofanyika katika uwanja wa Nyamagana huko Mwanza
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo, WAMA, Mama Salma Kikwete akizindua rasmi upimaji wa saratani ya  mlango wa kizazi wakati wa kilele cha siku ya wanawake duniani katika sherehe iliyofanyika katika uwanja wa Nyamagana huko Mwanza.

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad