Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya NSSF, Abubakar Rajabu (mwenye
kofia nyeupe) akimkabidhi kadi ya uanachama wa NSSF, Ester Msalahi,
ambaye ni mwalimu katika shule moja ya msingi ya binafsi. Kadi hilo
iliandaliwa ndani ya saa moja kwa teknolojia mpya ya kisasa 'Mobile POS'
ya utengenezaji kadi ya mwanachama wa shirika hilo.
Wajumbe wa Bodi ya NSSF pamoja na viongozi wa shirika hilo wakipata maelezo juu ya Mobile POS inavyofanya kazi.
Mmoja wa wafanyakazi wa NSSF tawi la Ilala (katikati) aliyezungukwa
akitoa maelezo namna Mobile POS inavyorahisisha kazi ya utengenezaji
kadi ya mwanachama wa NSSF kwa muda mfupi.
WAKULIMA KUNUFAISHWA NA (TBL) KUPITIA MASOKO YA KIKANDA
-
KAMPUNI ya Tanzania(TBL) imedhamiria kuwasaidia wakulima nchini kwa
kutambua uwezo wao wa kulisha watu, viwanda, na biashara katika ukanda huu
kupitia mika...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment